Kwa wengine wetu jina Peter Munga ni geni. Ila kwa Wakenya waliokuwepo katika sekta ya Juakali na ukulima wa majani chai na kahawa mwaka 1984 wanamfahamu kama mkenya mjasiri aliyeanzisha benki ya Equity Building Society. [ad id=”11″]Tatizo la kubaguliwa katika sekta ya benki lilimpa Peter Munga azma ya kufungua benki itakayowapa nafasi wafanyibiashara kupata mikopo na kuwekeza katika chumba kimoja kidogo mjini Murang’a. Mwanahabari mwenza Isabella Kituri alikutana naye Munga na anatudokezea mengi.
Related Articles

December 13, 2019
2,606
Watu 20 wakimbizwa hospitalini baada ya kudaiwa kula Githeri yenye sumu Baringo
Check Also
Close-
Gavana Sonko aachiliwa kwa dhamana ya Ksh 15m pesa taslimu
December 11, 2019